sw_tn/rom/13/01.md

507 B

Sentensi unganishi

Paulo anawaambia waamini jinsi ya kuishi chini ya watawala wao.

Na kila nafsi iwe tiifu

"Kila mkristo anapaswa kutii"

Mamlaka iliyo juu

"Watawala wa srikali."

Kwa ajili ya

"Kwa sababu"

Hakuna mamlaka isipokuwa inatoka kwa Mungu

"Mamlaka yote yatoka kwa Mungu"

Mamlaka iliyopo imewekwa na Mungu

"Watu walio katika mamlaka wapo kwa sababu Mungu amewaweka pale"

Mamlaka hiyo

"Hiyo mamlaka ya kiserikali"

Wale waipingao

" Wale wanaopinga mamlaka ya kiserikali"