sw_tn/rom/12/17.md

349 B

Msilipe ovu kwa ovu

"Msifanye yaliyo maovu kwa mtu aliyewafanyia maovu"

Fanyeni mambo mema machoni pa watu wote

"Fanyeni mambo ambayo kila mtu ataona ni mazuri"

Kama ilivyowekwa kwenu, kuweni na amani na watu wote

"Fanyeni lolote mnaloweza kuwa na amani na kila mtu"

Kama ilivyowekwa kwenu

"Kama mnavyoweza kudhibit na ni wajibu kwa"