sw_tn/rom/12/11.md

732 B

Kuhusu bidii, msiwe na wasiwasi. Kuhusu roho, myatamani. Yanayohusu Bwana, mtumikieni.

"Msiwe wavivu kwenye zamu zenu, bali mtamani kumfuata roho na kumtumikia Bwana"

Furahini kwa ujasiri mlionao kuhusu siku zijazo.

"Kuweni na furaha maana ujasiri wenu upo katika Mungu"

Mvumilie katika matatizo yenu

"Muwe wavumilivu wakati mgumu unapokuja"

Endeleeni kuomba

"Na mkumbuke kuomba kila mara"

Mshiriki katika mahitaji ya waumini.

Hili ni jambo la mwisho kwenye orodha inayoanza "Kuhusu mahitaji ya waamini, mshiriki pamoja nao" au "Ikiwa" au "Wakristo wenzako wakiwa na tatizo, musaidie kile wanachohitaji"

Mtafute njia nyingi za kuonesha ukarimu.

"Muwakaribishe nyumbani kwenu ikiwa wanahitaji mahali pa kukaa"