sw_tn/rom/11/26.md

245 B

Maelezo yanayounganisha

Paulo anasema mkombozi atakuja toka Israeli kwa utukufu wa Mungu.

Hivyo Israeli wote wataokoka

"Hivyo Mungu atawaokoa Waisraeli wote"

Waisraeli wote wataokoka

Hii imeongezwa chunvi. Wayahudi wengi wataokolewa.