sw_tn/rom/11/22.md

235 B

matendo mema na ukali wa Mungu

Paulo anawakumbusha waamini wa Mataifa kwamba japokuwa Mungu amekuwa mwema sana kwao, hatasita kuwahukumu na kuwaadhibu.

Vinginevyo wewe pia utakatiliwa mbali

"Vinginevyo Mungu atakukatilia mbali"