sw_tn/rom/11/11.md

477 B

Maelezo yanayounganisha

Pamoja na kuwa Israeli kama taifa lililokataliwa na Mungu, Paulo anawaonya Mataifa kuwa makini na wasifanye kosa lile lile.

Wameona mashaka hata kuanguka?

"Je Mungu amewakataa daima kwa sababu wametenda dhambi?"

Hata kidogo

"Hiyo haiwezekani" au "la hasha!" Ufafanuzi huu unakataa kwa nguvu kwamba hii haiwezi kutokea. Unaweza kuwa na ufafanuzi mwingine kwa lugha yako ambayo unaweza kutumia hapa.

Dunia

Hapa inamaanisha watu wa duniani.