747 B
747 B
Lakini nasema, "Hawakusika?" Ndiyo, bila shaka
Paulo anatumia swali kwa msisitizo. "Lakini, nasema bila shaka Wayahudi wamesikia ujumbe kuhusiana na Kristo
Sauti yao imeenda katika inchi yote, na maneno yao mwisho mwa ulimwengu
Maelezo haya yote kwa msingi humaanisha kitu kile kile na yanatumiwa kwa msisitizo. Neno "yao" inarejea jua, mwezi, na nyota. Hapa wameelezwa kama wapeleka ujumbe kwa kuwaambia watu kuhusiana na Mungu. Hii inarejea kwa namna kuishi kwao uhushuhudia nguvu na utukufu wa Mungu. Inaweza kufanywa wazi kwamba Paulo ananukuu Maandiko hapa. "Kama ilivyoandikwa katika Maandiko, 'Jua, mwezi na nyota ni udhibitisho wa nguvu na utukufu wa Mungu, na kila aliye katika ulimwengu huyaona na ujua ukweli kuhusiana na Mungu"