sw_tn/rom/10/11.md

461 B

Yeyote ambaye anamwamini yeye hatatahayarika

"Yeyote asiye amini atatayarika." Hasi hapo imetumiwa kwa usisitizo. "Mungu atamheshimu ambaye anamwamini."

hakuna tofauti kati ya Myahudi na Myunani

"Kwa njia hii, Mungu huwaona Wayahudi na wasio wayahudi sawa"

na yeye ni tajiri kwa wale wote wamwitao

"na uwabariki kwa wingi wote wamwaminio"

Kwa kila aliitae jina la Bwana ataokolewa

Neno "jina" urejea kwa Yesu. " Bwana atamuokoa kila amtegemeae."