sw_tn/rom/10/06.md

1016 B

Lakini haki inayotokana na imani husema hivi

Hapa "haki" imeelezwa kama mtu ambaye anaweza kuongea. "Lakini Musa anaandika hivi kuhusiana na namba imani humfanya mtu sawa mbele za Mungu"

Usiseme ndani ya moyo wako

Musa alikuwa anaongea na watu kama vile walikuwa ni mtu mmoja. "Usiseme kwako mwenyewe"

Nani atakayepaa kwenda mbinguni?

Musa anatumia swali kufundisha wasikiizaji wake. Maelekezo yake ya awali, "Usiseme" huitaji jibu hasi kwa swali hili. "Hakuna mmoja asijaribu kwenda juu mbinguni"

hii ni kwamba, kumleta Kristo chini

"ili kusudi kwamba wamlete Kristo chini ya inchi"

Nani atakaye shuka katika shimo kubwa

Musa anatumia swali kuwafundisha wasikilizaji wake. Maelekezo yake ya awali, "Usiseme" huitaji jibu hasi kwa swali hili. "hakuna mmoja ajaribu kwenda chini na kuingia eneo ambao roho za watu waliokufa wapo"

hii ni, kumleta Kristo juu kutoka kwa wafu

" ili kusudi kwamba waweze kumleta Kristo kutoka kwa wafu."

kufa

Hapa ina maanisha pale mwili wa mtu huacha kuishi.