sw_tn/rom/09/19.md

518 B

Kisha utasema kwangu

Paulo anazugumza hukumu ya mafundisho yake kama vile alikuwa anaongea na mtu mmoja. Unaweza kuhitajia kutumia wingi hapa.

yeye...yake

Maneno 'yeye' na 'yake' hapa yanarejesha kwa Mungu

hivi kilichofinyangwa cha weza sema... matumizi ya kila siku?

Paulo anatumia haki ya mfinyazi kutengeneza aina yoyote ya chombo anachotaka kutokana na udongo kama mfano wa haki ya muumbaji kufanya chochote anachotaka na umbaji wake.

kwanini ulinifanya hivi mimi

Neno "wewe" hapa urejea kwa Mungu.