sw_tn/rom/09/10.md

1.1 KiB

baba yetu Isaka...sasa hivi

Katika utamaduni unaweza kuhitaji kuweka 9:11 baada ya 9:12. Tofasiri mbadala: "baba yetu Isaka, ilisemwa kwake, ' Mkubwa atamtumikia mdogo.' Sasa watoto walikuwa bado hawajazaliwa...kwa sababu ya yeye aitae. Ni sasa"

baba yetu

Isaka alikuwa mtangulizi wa Paulo na wakristo wayahudi katika Rumi.

kubeba mimba

"alibeba ujauzito"

kwa kuwa walikuwa bado hawajazaliwa na hakuwa amefanya lolote zuri au baya

"kabla watoto hawajazaliwa na hakuwa amefanya lolote zuri au baya"

ili kwamba kusudi la Mungu kulingana na uchaguzi lisamame

"ili kwamba Mungu anachotaka kifanyike kulingana na uchaguzi wake kifanyike"

kwa kuwa watoto walikuwa bado hawajazaliwa

"kabla watoto hawajazaliwa"

na hakuwa amefanya lolote zuri au baya

"si kwa sababu ya lolote walikuwa wamefanya"

kwa sababu yake

kwa sababu ya Mungu

ilikuwa imesemwa kwake, "Mkubwa atamtumikia mdogo".

Mungu alisema kwa Rebeka, 'Mwana mkubwa atamtumikia mwana mdogo"

Nilimpenda Yakobo, lakini nilimchukia Esau

Mungu alimchukia Esau pekee katika ulinganisho wa kiasi gani alivyompenda Yakobo.