sw_tn/rom/08/35.md

1.1 KiB

Ni nani atakayetutenga sisi na upendo wa Kristo?

Swali hili linaonekana kuuliza kuhusu mtu, lakini jibu lifuatalo linazuia matukio, sio watu. Hivyo Paulo labda anaongea kuhusu matukio kama vile na watu

Dhiki, au shida, au mateso, au njaa, au uchi, au hatari, au upanga?

"Haiwezekani hata kama mtu yeyote atatusababishia shida, atatuumiza, atachukua mavazi yetu au chakula, au hata kutuua."

Dhiki, au shida

Maneno haya yote yana maana moja.

Kwa faida yako

Hapa "yako" ipo katika umoja na inamaanisha Mungu.

tunauawa mchana kutwa

Hapa "sisi" inarejea kwa yule aliyeandika kifungu hiki cha Maandiko na inajumuisha wale wote wanaomtii Mungu. Maneno "mchana kutwa" ni maneno yaliyoongezwa kusisitiza kiwango cha hatari waliyomo. Paulo anatumia sehemu hii ya Maandiko kuonesha kwamba wote walio wa Mungu watarajie nyakati ngumu. "adui zetu wanaendelea kututafuta watuue"

Sisi tulihesabiwa kama kondoo wa kuchinjwa

Hii inalinganisha kati ya watu wanaouawa kwasababu ya utii wao kwa Mungu na wanyama. "Maisha yetu hayakuwa na thamani kwao kuliko kondoo wanaowaua"