sw_tn/rom/08/31.md

686 B

Tuseme nini basi juu ya mambo haya? Mungu akiwa upande wetu, ni nani aliye juu yetu?

Paulo anatumia swali kusisitiza wazo kuu kwa yale aliyoyasema hapo awali. "Hiki ndicho tunachopaswa kujua kutoka haya yote: kwa Mungu anatusaidia sisi, hakuna awezaye kutushinda sisi"

Yeye asiyemwachilia mwana wake mwenyewe

Mungu Baba alimtuma Mwana wa Mungu, Yesu Kristo, msalabani kama sadaka takatifu isiyo na mwisho ya muhimu kumridhisha asili ya milele ya Mungu dhidi ya dhambi ya wanadamu.

bali alimtoa

"lakini alimkabidhi kwa adui"

atakosaje kutukirimia na mambo yote pamoja naye?

Paulo anatumia swali kwa ajili ya msisitizo. "Yeye kwa hakika na kwa uhuru atatupatia vitu vyote"