sw_tn/rom/08/23.md

710 B

tulio na malimbuko ya Roho

Paulo analinganisha jinsi walioamini wanavyopokea Roho Mtakatifu sawa na malimbuko na mboga za masika zinavyokua. Hii inasisitiza kwamba Roho Mtakatifu ni mwanzo tu wa mambo ambayo Mungu atawapa walioamini.

kusubiri kufanywa wana, ukombozi wa miili yetu

"kusubiri wakati tutakapokuwa washiriki halisi wa familia ya Mungu na atakapookoa miili yetu kutoka katika kuharibika na mauti"

Kwa maana ni kwa taraja hili tuliokolewa

"Kwa maana Mungu alituokowa kwasababu tulikuwa na imani naye"

Lakini tunachotarajia kitatokea bado hakijaonekana, kwa maana ni nani atarajiaye kile akionacho tayari?

Paulo anatumia swali kuwasaidia wasikiliaji wake kuelewa maana ya "kujiamini."