sw_tn/rom/08/18.md

653 B

Sentensi unganishi:

Paulo anatukumbusha kuwa miili yetu itabadilishwa katika ukombozi wa miili

Kwa

Hii inasisitiza "Mimi nafikiri." Haimaanishi "kwasababu"

Mimi nafikiri kwamba...haistahili kulinganishwa na

"Mimi sifikiri kwamba...yanastahili kulinganishwa na"

itafunuliwa

"Mungu atayafunua" au "Mungu atafanya yajulikane"

viumbe vinatazamia kwa shauku

Kila kitu ambacho Mungu ameumba kimeelezwa kama mtu anayengoja kitu kwa shauku.

kwa kufunuliwa kwa wana wa Mungu

"kwa wakati ambao Mungu atawafunua watoto wake"

wana wa Mungu

Hapa hii imaanisha walioamini wote katika Yesu na mara nyingi imetafsiriwa kama "watoto wa Mungu"