sw_tn/rom/06/08.md

399 B

tumekwish kufa pamoja na Kristo

Ijapokuwa Kristo alikufa kimwili, hapa "kufa" urejea kwa wakristo kufa kiroho kwa nguvu ya dhambi. "tumekufa kiroho pamoja na Kristo."

Tunajua ya kuwa Kristo amekwisha inuliwa toka mauti

"Mungu alimleta Kristo katika uhai baada ya kufa"

Kifo hakimtawali tena

Hapa "kifo" kimeelezwa kama mfalme au kiongozi ambaye ana nguvu juu ya watu. "Hawezi kufa tena."