sw_tn/rom/05/12.md

418 B

Sentensi unganishi:

Paulo aeleza kwa nini kifo kilitokea hata kabla ya sheria ya Mungu haijaandikwa.

kupitia mtu mmoja dhambi iliingia...kifo kiliingia kupitia dhambi

Paulo aelezea "dhambi" kama jambo hatari ambalo liliweza kuja katika ulimwengu kupitia uwazi ulio sababishwa na matendo ya "mtu mmoja" Adamu. Hii "dhambi" basi ilifanyika uwazi ambako "kifo", jambo jingine la hatari, pia lilikuja ulimwenguni.