sw_tn/rom/04/20.md

479 B

hakusita katika kutoamini

"Hakuwa na mashaka." AT 'agizo juu ya kutenda kwa imani.'

alikuwa imara katika imani

"Akawa na nguvu katika imani yake"

Alikuwa akijua hakika

"'Ibrahimu alikuwa na uhakika kabisa"

yeye pia alikuwa na uwezo wa kukamilisha

"Mungu alikuwa na uwezo wa kufanya"

Kwa hiyo hii ilikuwa pia kuhesabiwa kwake kama haki

"Mungu kuhesabiwa imani ya Ibrahimu kuwa ni uadilifu" au "Mungu kuchukuliwa Ibrahimu haki kwa sababu Ibrahimu aliamini yeye"