sw_tn/rom/04/04.md

586 B

Sasa kwa ajili yake ambaye anafanya kazi, malipo ni hayahesabiwi kuwa ni neema, bali kama vile zinadaiwa

Hii ni kuelezea hali ambapo mtu ambaye anafanya kazi anatarajia kuwa atalipwa kwa kazi. Mtu huyo hakubali malipo kama zawadi ya bure au "neema."

malipo

"Mshahara" au "kulipa" au "kile chuma kwa kufanya kazi"

kile zinadaiwa

"Nini mwajiri wake anadaiwa naye"

yule ambaye amehalalishwa

"Katika Mungu, ambaye amehalalisha"

imani yake inahesabiwa kuwa haki

"Mungu anaona imani ya mtu huyo kuwa ni haki" au "Mungu anaona kuwa mtu mwenye haki kwa sababu ya imani yake"