sw_tn/rom/02/28.md

740 B

Kwa nje

Hii inamaanisha mambo ya nje ya Kiyahudi ambayo watu wanayaona.

Siyo ya nje tuu katika mwili

Hii inamaanisha mabadiliko ya nje katika mwili wa binadamu.

Ni Myahudi kwa ndani, na tohara ni ile ya moyoni

Mistari hii miwili ina maana inayofanana. Mstari unaosema, "Ni Myahudi kwa ndani," inaelezea kuwa, "tohara ni ile ya moyoni."

Ndani

Hii inaonyesha thamani na motisha ya mtu ambaye Mungu amembadilisha.

Kwa Roho, sio kwenye barua

"Barua" ni sehemu ndogo ya maandishi katika lugha. Hapa inamaanisha maandiko. "kupitia kazi ya roho mtakatifu, sio kwa sababu unajua maandiko."

Kwa Roho

Hii inaweza kuwa na maana ya ndani, sehemu yakiroho ya mtu, tofauti na nje "barua" ya sheria. Pia inamaana ya Roho Mtakatifu.