sw_tn/rom/02/17.md

1.2 KiB

Ikiwa wewe unajiita Myahudi

Hapa neno "kama" haimaanishi Paulo ana mashaka au hana uhakika. Anasisitiza kuwa sentensi hii ni ya kweli. "Sasa mnajiona wenyewe kama watu watu wa Kiyahudi."

Kutegemea torati, kujisifu kwa furaha katika Mungu

"na ninyi mnategemea sheria ya Musa na kujisifu kwa furaha kwa sababu ya Mungu"

Kujua mapenzi yake

"Na nyie kujua mapenzi ya Mungu"

kama mlivyoelekezwa na sheria

"kwa kuwa mmeelewa ni nini sheria ya Musa inafundisha"

Ikiwa una ujasiri... na ukweli

Kama lugha yako ina namna ya kutafsiri maelezo ya Paulo kwenye sura ya 2:19-20. unaweza kuweka 2:19-20 kabla ya 2:17.

Kwamba ninyi wenyewe ni viongozi wa vipofu, mwanga kwa walio gizani.

Sentensi hizi zina maana inayofanana. Paulo anafananisha Myahudi anayemfundisha mtu kuhusu sheria kumsaidia mtu ambaye haoni. "kwamba ninyi wenyewe ni kama viongozi kwa mtu aliye kipofu, na ni mwanga kwa mtu aliyepotea gizani"

Mkufunzi wa wajinga

"Unawarekebisha wale wanaofanya makosa"

Mwalimu wa watoto

Hapa Paulo anawafananisha wale wasiojua chochote kuhusu sheria kama watoto. "na uwafundishe wale wasiojua sheria"

na mlichonacho kwenye sheria maarifa na kweli

"kwa sababu mna hakika kuwa mnaelewa ukweli ulioandikwa kwenye sheria"