498 B
498 B
Taarifa ya Jumla:
Yohana anatoa maneno yake ya mwisho juu ya kitabu cha Ufunuo.
Namshuhudia
Anayeshuhudia ni Yohana.
maneno ya unabii wa kitabu hiki
Hapa "maneno" yanamaanisha ujumbe yaliyounda. "Ujumbe huu wa kinabii wa kitabu hiki."
Kama yeyote ataongeza katika hayo ... Kama mtu yeyote atayaondoa
Hili ni onyo kali la kutobadili chochote kwenye utabiri huu.
yaliyoandikwa katika kitabu hiki
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "ambayo nimeyaandika ndani ya kitabu hiki"