sw_tn/rev/22/18.md

498 B

Taarifa ya Jumla:

Yohana anatoa maneno yake ya mwisho juu ya kitabu cha Ufunuo.

Namshuhudia

Anayeshuhudia ni Yohana.

maneno ya unabii wa kitabu hiki

Hapa "maneno" yanamaanisha ujumbe yaliyounda. "Ujumbe huu wa kinabii wa kitabu hiki."

Kama yeyote ataongeza katika hayo ... Kama mtu yeyote atayaondoa

Hili ni onyo kali la kutobadili chochote kwenye utabiri huu.

yaliyoandikwa katika kitabu hiki

Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "ambayo nimeyaandika ndani ya kitabu hiki"