sw_tn/rev/22/10.md

448 B

Kauli Unganishi:

Malaika anamaliza kuzungumza na Yohana.

Usiyatie muhuri ... kitabu hiki

Kutia muhuri kitabu ilikuwa kukifunga na kitu ambacho kilikifanya isiwezekane kwa yeyote kusoma kilichomo ndani hadi ule muhuri uvunjwe. Malaika alikuwa akimwambia Yohana kutoufanya ujmbe kuwa siri. "Usifanye siri ... kitabu hiki"

aneno ya unabii wa kitabu hiki

Hapa "maneno" yanamaanisha ujumbe uliyounda. "Huu ujumbe wa kinabii wa kitabu hiki"