sw_tn/rev/22/08.md

274 B

Taarifa ya Jumla:

Yohana anawaambia wasomaji wake jinsi alivyomjibu malaika.

kulala kifudifudi

Hii inamaanisha kulala chini na kujinyoosha kwa sababu ya heshima na unyenyekevu. Hii nafasi ilikuwa sehemu muhimu katika kuabudu, kuonesha heshima na utayari wa kutumika.