sw_tn/rev/22/06.md

789 B

Taarifa ya Jumla:

Huu ni mwanzo wa mwisho wa maono ya Yohana. Katika mstari wa 6 malaika anazungumza na Yohana. Katika mstari wa 7, Yesu anazungumza, kama ilivyoainishwa katika UDB.

maneno haya ni ya hakika na kweli

Hapa "maneno" yanamaanisha ujumbe uliyounda. "ujumbe huu ni wa kuaminika na wa kweli"

Mungu wa roho za manabii

Maana zinazowezekana ni 1) neno "roho" inamaanisha tabia ya ndani ya manabii na inaashiria kuwa Mungu ndio aliwapa msukumo. "Mungu aliyewaongoza manabii" (UDB) au 2) neno "roho" inamaanisha Roho Mtakatifu amabye aliwaongoza manabii. "Mungu aliyewapa manabii Roho wake"

Tazama!

Hapa Yesu anaanza kuzungumza. Neno "Tazama" inaongeza msistizo kwa kile kinachofuata.

Ninakuja upesi!

Inaeleweka kuwa anakuja ili kuhukumu. "Ninakuja kuhukumu upesi!