sw_tn/rev/18/09.md

597 B

Kauli Unganishi:

Yohana anasema kile watu wanachosema kuhusu Babeli.

Taarifa ya Jumla:

Hapa anayezungumziwa kama mtu ni mji wa Babeli.

waliofanya uasherati na kuchanganyikiwa pamoja naye

"kutenda dhambi za ngono na kufanya chochote walichotaka kama watu wa Babeli walivyofanya"

hofu ya maumivu makali

Maumivu makali yanaweza kutafsiriwa kama kitenzi. "wakihofu kuwa watateswa kama Babeli" au "wakihofu kuwa Mungu atawatesa kama anavyoitesa Babeli"

Ole, ole

Hii inarudiwa kwa ajili ya msisitizo.

adhabu yako imekuja

Kuwepo katika wakati wa sasa inazungumziwa kama ilimefika.