sw_tn/rev/15/07.md

422 B

wenye uhai wanne

"viumbe wanne" au "vitu vinne vyenye uhai"

mabakuli saba ya dhahabu yaliyojaa ghadhabu ya Mungu

Picha ya divai katika bakuli inaweza kuelezwa vizuri. Neno "ghadhabu" hapa inamaanisha adhabu. Divai ni alama ya adhabu. "mabakuli saba yaliojaa divai inayoashiria ghadhabu ya Mungu"

mpaka mapigo saba ya malaika saba yalipokamilika

"mpaka malaika saba walipomaliza kutuma yale mapigo saba duniani"