sw_tn/rev/15/05.md

463 B

Kauli Unganishi:

Malaika saba na mapigo saba wanatoka katika mahali patukufu zaidi. Zilizungumziwa katika 15:1.

Baada ya mambo hayo

"Baada ya watu kumaliza kuimba"

malaika saba wenye mapigo saba

Malaika hawa walionwa wakishilia mapigo saba kwa sababu walipewa mabakuli yaliojaa ghadhabu ya Mungu katika 15:7.

kitani

nguo ya gharama iliyotengenezwa kwa kitani.

mishipi

Mshipi ni kipande cha nguo cha urembo kinachovaliwa sehemu ya juu ya mwili.