sw_tn/rev/15/03.md

488 B

Walikuwa wakiimba

"Wale waliokuwa washindi dhidi ya mnyama walikuwa wakiimba"

Nani atashindwa kukuhofu wewe Bwana na kulitukuza jina lako?

Swali hili linatumika kuonesha kushangazwa kwao na jinsi gani Bwana alivyo mkuu na mtukufu. Inaweza kuelezwa kama mshangao. "Bwana, watu wote watakuogopa na kutukuza jina lako!"

kulitukuza jina lako

Usemi huu "jina lako" inamaanisha Mungu. "na kukutukuza wewe"

matendo yako yamejulikana

"umewafanya watu wote wajue matendo yako mema"