sw_tn/rev/14/14.md

750 B

Kauli Unganishi:

Yohana aanza kueleza sehemu inayofuata ya maono yake. Hii sehemu inahusu Mwana wa Adamu anapovuna dunia. Kuvuna nafaka ni ishara ya Mungu kuhukumu watu.

mfano wa Mwana wa Mtu

Huu usemi unafafanua umbo la binadamu, mtu anayefanana na binadamu.

taji ya dhahabu

Hii ilikuwa ni mfano wa shada la matawi ya mizeituni au majani ya laurusi yaliyopondwa kwenye dhahabu. Mifano yake iliyoundwa walipewa wanariadha washini kuvaa vichwani mwao.

mundu

kifaa kikali kama kisu au panga kilicho na mkunjo kwa ajili ya kukatia nyasi, nafaka na mizabibu.

kutoka kwenye hekal

"kutoka kwenye hekalu la kimbinguni"

muda wa mavuno umeshawadia

Kuwepo kwa wakati uliopo inazungumziwa kama umekuja.

dunia ikavunwa

"alivuna dunia"