sw_tn/rev/14/13.md

440 B

wafu wafao

"wale waliokufa"

wafao katika Bwana

"walioungana na Bwana na kufa." Hii inaweza kumaanisha watu waliouawa na adui zao. "walikufa kwa sababu wameungana na Bwana"

kazi

shida na mateso

matendo yao yatawafuata

Matendo haya yanazungumziwa kana kwamba yako hai na yanaweza kuwafuata waliyoyatenda. Maana zinazowezekana ni 1)"wengine watajua matendo mema waliyotenda watu hawa" au 2)"Mungu atawazawadia kwa matendo yao."