sw_tn/rev/14/09.md

695 B

kwa sauti kuu

"kwa sauti"

pia atakunywa divai ya ghadhabu ya Mungu

Kunywa divai ya ghadhabu ya Mungu ni alama ya kuadhibiwa na Mungu. "pia watakunywa sehemu ya divai inayowakilisha ghadhabu ya Mungu.

kumwagwa bila kuchanganywa

"kwamba Mungu amechanganya nguvu kamili"

kumwagwa bila kuchanganywa

Hii inamaanisha divai imechanganywa na divai zingine tu na wala hakuna maji yaliochanganywa humo. Ina nguvu, na mtu atakayeinywa nyingi atalewa sana. Kama alama, inaonesha kuwa Mungu atakuwa na hasira sana, sio hasira kidogo.

kikombe cha hasira yake

Mfano wa kikombe hiki kinashikilia divai inayowakilisha hasira ya Mungu.

malaika zake watakatifu

"malaika watakatifu wa Mungu"