sw_tn/rev/14/08.md

738 B

Umeanguka, umeanguka Babeli mkuu

Malaika anaizungumzia Babeli kuangamizwa kama vile imeanguka. "Babeli kuu imeangamizwa"

Babebi kuu

"Babeli, ule mji mkuu" au "mji muhimu wa Babeli." Huu unawezekana kuwa ulikuwa ni alama ya mji wa Rumi ambao ulikuwa mkubwa, tajiri na wenye dhambi.

uliwanywesha

Babeli inazungumziwa kana kwamba ni mtu badala ya mji uliojaa watu.

kunywa divai ya tamaa zake mbaya

hii ni alama ya kushiriki katika tamaa zake mbaye za uasherati. "kuwa muasherati kama yeye" au "kulewa kama yeye na dhambi za uasherati"

tamaa mbaya

Babeli inazungumziwa kama vile ni kahaba aliyesababisha watu wengine watende dhambi pamoja naye. Hii inaweza kuwa na maana mara mbili: uasherati halisi na pia kuabudu miungu.