sw_tn/rev/14/06.md

409 B

Kauli Unganishi:

Yohana anaanza kuelezea sehemu ifuatayo ya maono yake. Huyu ni malaika wa kwanza kati ya watatu wanaotamkia dunia hukumu.

kila taifa, kabila, lugha, na watu

Hii humaanisha watu kutoka kila kabila.

Kwa maana muda wa hukumu yake umekaribia

Kuwepo katika wakati wa sasa unazungumziwa kama umekuja. Wazo la "hukumu" linaweza kuoneshwa na kitenzi. "sasa ni muda wa Mungu kuhukumu watu"