sw_tn/rev/12/15.md

739 B

nyoka

Hiki ni kiumbe kimoja na joka lilotajwa mapema katika 12:7

kama mto

Maji walitiririka toka mdomoni mwake kama mto utiririkavyo. "kwa kiasi kikubwa"

kumgharikisha

"kumuosha"

ardhi ... Ilifunua kinywa chake na kuumeza mto alioutema joka kutoka kinywani mwake

Ardhi inazungumziwa kana kwamba ni kiumbe hai, na shimo linazungumziwa kama kinywa kiwezacho kunywa maji. "Shimo likafunguka kwenye ardhi na maji yakaingia humo"

joka

Hili lilikuwa tambaazi kubwa kali, kama mjusi. Kwa wayahudi ilikuwa ni alama ya uovu na machafuko. Joka linatambulika pia katika mstari wa 9 kama "ibilisi au Shetani"

kushikilia ushuhuda kuhusu Yesu

Neno "ushuhuda" inaweza kutafsiriwa kama kitenzi. "waliendelea kushuhudia kuhusu Yesu"