sw_tn/rev/11/16.md

543 B

wazee ishirini na wanne

wazee wanne -"wazee 24"

nyuso zao zimeinama chini

Kulala chini kwa kutazama ardhi.

Mungu mwenye Nguvu, ambaye yupo na ambaye alikuwepo

Hizi zinaweza kuwa sentesi. "Wewe, Bwana Mungu, ndiye mtawala juu ya vyote. Wewe ndiye uliyepo, na wewe ndiye uliyekuwepo"

ambaye yupo

"yule aliyepo" au "yule anayeishi"

alikuwepo

"aliyekuwepo" au "yule ambaye alikuwa anaisha daima"

umetwaa nguvu yako kuu

Mungu alichofanya na nguvu yake kuu inaweza kuwekwa wazi. "umewaangamiza kwa nguvu yako wote waliokuasi"