sw_tn/rev/10/05.md

449 B

aliinua mkono wake juu mbinguni

Alifanya hivi kuonyesha kuwa aliapa kwa Mungu.

kuapa kwa yule aishiye milele na milele

"na akamuliza yule aishiye milele na milele athibitishe"

yule aishiye milele na milele

Hapa "yule" inamaanisha Mungu.

Hakutakuwepo kuchelewa tena

"Hakutakuwa na kusubiri tena" au "Mungu hatachelewa"

ndipo siri ya Mungu itakuwa imetimizwa

"Mungu atatimiza siri yake" au " Mungu atakamilisha mpango wake wa siri"