sw_tn/rev/05/13.md

722 B

mbinguni na duniani na chini ya nchi

Hii inamaanisha mahali pote: Mahali ambapo Mungu na malaika huishi, mahali ambapo watu na wanyama huishi, na mahali ambapo wale waliokufa walipo.

Kwake yeye aketiye juu ya kiti cha enzi na kwa mwanakondoo, kuwe sifa, heshima, utukufu

Kitenzi "toa" kinaweza kutumika kuonesha jinsi sifa, heshima na utukufu "ni" kwake yeye aliye katika kiti cha enzi na kwa Mwanakondoo. "Tunapaswa kumpa sifa, heshima, na utukufu yule aketiye kwenye kiti cha enzi na kwa Mwanakondoo"

na nguvu ya kutawala milele na milele

Kitenzi "kuwa" kinaweza kutumika kuonesha jinsi gani nguvu inaweza kuwa kwake aliye kwenye kiti cha enzi na kwa Mwanakondoo. "na wawe na nguvu kutawala milele na milele"