sw_tn/rev/05/08.md

408 B

Mwanakondoo

"mwanakondoo" ni mtoto wa kiume wa kondoo. Hapa hutumika kushiria kuwa ni Kristo.

wazee ishirini na wanne

wazee wanne -"wazee 24"

wakainama hadi nchi

Kulala chini kwa kutazama ardhi.

Kila mmoja

Maana zinazowezekana ni 1)"kila mzee ni kiumbe hai" au 2)"kila mzee"

bakuli ya dhahabu iliyojaa uvumba ambayo ni maombi ya waamini

Uvumba hapa ni alama ya maombi ya waumini wa Mungu.