sw_tn/psa/150/001.md

527 B

Taarifa ya Jumla:

Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania.

Taarifa ya Jumla:

kuzingatia zaidi kusifu na kuabudu na jambo la kawaida hekaluni.

Msifuni Mungu katika mahali pake patakatifu

Hekalu la Mungu lilikuwa likijulikana zaida kama sehemu yake takatifu. Hii ilikuwa sehemu iliyotumika zaida kwenda kumwabudu Mungu.

matendo yake makuu

"mambo makubwa aliyotenda." "Matendo makubwa" ya Mungu yanaweza kumaanisha 1) ya asili kama radi na matetemeko au 2) miujiza kama uponyaji na ushindi mkubwa vitani.