sw_tn/psa/139/015.md

351 B

nilipoumbwa kwa ustadi

"uliniumba kwa ustadi mkubwa"

katika sehemu za chini za nchi

Hii inawezekana kuwa namna kuzungumzia tumbo la mama mzazi.

siku zangu zote nilizopewa ziliandikwa kwenye kitabu chako hata kabla ya kwanza haijatokea

Msemo huu unashiria kuwa Waisraeli wa zamani walifikiri kuwa Mungu aliandika mipango yake kwenye kitabu.