sw_tn/psa/139/011.md

225 B

Kama ningesema, "Hakika giza litanifunika

Mwandishi wa zaburi anazungumzia usiku kana kwamba ni blangeti inayoweza kumfunika.

Usiku utang'aa kama mchana

Usiku, ambao ni giza, unazungumziwa kana kwamba unang'aa mwanga.