sw_tn/psa/138/007.md

531 B

natembea

kuishi

katikati ya hatari

Kuwa hatarini inazungumziwa kama kuwa katika sehemu ya kimwili.

utafika na mkono wako dhidi ya hasira ya adui zangu

Mungu anazungumziwa kana kwamba atawapiga adui kwa mkono wake.

hasira ya adui zangu

Hasira inazungumziwa kana kwamba ni kitu badala ya hisia. "adui zangu, ambao wana hasira"

mikono yako imeumba

Mungu anazungumziwa kana kwamba alitumia mikono yake kihalisia kuumba. "umeumba"

wale ambao mikono yako imeumba

Msemo huu unawezekana kumaanisha taifa la Israeli.