sw_tn/psa/136/013.md

221 B

bahari la Matete

wanajeshi wa Farao walizama katika bahari la Matete.

akampindua Farao

Hapa kushindwa kunazungumziwa kama kumpindua mtu. "akamshinda Farao" au "akamshinda mfalme wa Misri"

Farao

Jeshi la Farao.