sw_tn/psa/136/006.md

250 B

aliyesambaza dunia juu ya maji

Waisraeli wa zamani walidhani kwamba nchi kavu ya dunia ilikuwa juu ya bahari. "aliyeweka dunia juu ya maji"

taa kuu

Hii inamaanisha vyanzo vya nuru kwa ajili ya dunia, hasa jua na mwezi. "jua na mwezi na nyota"