868 B
868 B
Nitafanya pembe lichomoze kwa ajili ya Daudi
Mungu anazungumzia mwana mwenye nguvu wa Daudi kana kwamba alikuwa ni pembe lenye nguvu la mnyama. "Nitamfanya mwana wa Daudi awe mfalme baada yake" au "Nitamfanya Daudi awe na mwana katika uzao wake atakaye kuwa mfalme mwenye nguvu"
nitaweka taa kwa ajili ya mtiwa mafuta wangu
Mungu anazungumzia kusabisha uzao wa Daudi kuendelea kutawala kama wafalme kana kwamba walikuwa ni taa inayoendela kung'aa. "Nitafanya uzao wa mtiwa mafuta wangu kuendelea kutawala kama wafalme"
mtiwa mafuta wangu
"mfalme wangu niliye mchagua" au "mfalme niliye mchagua"
Nitawavika adui zake na aibu
Aibu inazungumziwa kana kwamba ni nguo. Aibu hii inatokana na kushindwa vitani. "Nitawafanya adui zake washindwe vitani na waaibike"
taji lake linatang'aa
Taji linawakilisha utawala wake, na ukuu unnazungumziwa kama kung'aa"