sw_tn/psa/129/006.md

328 B

Na wawe kama ... miganda

Mwandishi wa zaburi anawazungumzia adui zake kufa na kuwa wachache kwa idadi. Wanalinganishwa na nyasi ndogo zinazoota kwenye paa ya nyumba na kukauka na haitoshi kukata au kukusanya. "Na wafe na wawe wachache sana hadi wawe kama nyasi ... miganda"

baraka ya Yahwe iwe juu yako

"Yahwe akubariki"