sw_tn/psa/126/004.md

259 B

wale wanaopanda kwa machozi ... Anatoka akilia ... akileta miganda yake

Mistari hii miwili inausambamba. Sentensi ya pili inamaana sawa na sentensi ya kwanza, lakini inatoa maelezo zaidi.

wale wanaopanda kwa machozi

"wale wanaopanda wakiwa na machozi"