643 B
643 B
kuchanwa na meno yao
Adui wanazungumziwa kana kwamba ni wanyama pori ambao wangewaangamiza Waisraeli kwa kuwala. "tuangamizwe kana kwamba tunaliwa na wanyama pori"
tumetoroka kama ndege kutoka kwenye kitanzi cha wawindaji wa ndege
Mwandishi anaelezea kutoroka kwake kutoka kwa adui zake kana kwamba likuwa ndege aliyetoroka kwenye mitego ya wawindaji. "tumetoroka kutoka kwa adui zetu kama ndege anavyotoroka mtego ambao mwindajia ametega"
kitanzi
mtego mdogo wa kamba au uzi unaotengenezwa kukamatia wanyama wadogo au ndege
kitanzi kimekatika
Mpango wa adui kumshika mwandishi umeshindwa kana kwamba ni kitanzi kilicho katika.