sw_tn/psa/123/003.md

739 B

Uwe na huruma kwetu

Nomino dhahania ya "huruma" inaweza kuelezwa kama kitendo. "kutendea kwa huruma"

tumeshiba ... Tumeshiba zaidi

Misemo hii miwili inamaana ya kufanana, wa pili unaongeza ukali wa ile wa kwanza.

tumeshiba aibu

Hapa aibu inazungumziwa kana kwamba ni kitu kinachoweza kumjaa mtu. "tumefedheheka sana"

Tumeshiba zaidi

Lahaja hii inamaanisha idadi imezidi kwa ubaya. "tumepata kingi sana"

kejeli ... na dharau

Misemo hii miwili inamaana ya kufanana na inatumika pamoja kusisitiza jinsi gani walivyo dhihakiwa na watu.

kejeli

kudhihaki au kutukana

jeuri

Hii inaashiria watu wenye jeuri. "watu wasio na adabu na wenye kiburi"

wenye kiburi

Hii inaashiria watu wenye kiburi. "watu walio na kiburi"