739 B
739 B
Uwe na huruma kwetu
Nomino dhahania ya "huruma" inaweza kuelezwa kama kitendo. "kutendea kwa huruma"
tumeshiba ... Tumeshiba zaidi
Misemo hii miwili inamaana ya kufanana, wa pili unaongeza ukali wa ile wa kwanza.
tumeshiba aibu
Hapa aibu inazungumziwa kana kwamba ni kitu kinachoweza kumjaa mtu. "tumefedheheka sana"
Tumeshiba zaidi
Lahaja hii inamaanisha idadi imezidi kwa ubaya. "tumepata kingi sana"
kejeli ... na dharau
Misemo hii miwili inamaana ya kufanana na inatumika pamoja kusisitiza jinsi gani walivyo dhihakiwa na watu.
kejeli
kudhihaki au kutukana
jeuri
Hii inaashiria watu wenye jeuri. "watu wasio na adabu na wenye kiburi"
wenye kiburi
Hii inaashiria watu wenye kiburi. "watu walio na kiburi"